Browsing category

High School Notes

Secondary School class notes for all subjects from form  1 to form.

Ministry of Education to Broadcast Lessons to Learners from Monday 23rd March 2020

Join Our Telegram Group The Government of Kenya has issued a press release in which it targets 15 Million both Primary and Secondary school children in a stepped-up digital and broadcast lessons. The Ministry of Education, through Kenya Institute of Curriculum Development (KICD), has been developing and offering supplementary school curriculum content for the last […]

Best Websites for Kenyans to Learn Online

Join Our Telegram Group Just like, on apps, there are also websites that can help Kenyan teachers, and students acquire skills in their hobbies, academics, and/or also advance their professions. These websites have made it easier to learn at home or on the move boosted by the convenience of using a mobile device from any […]

Uchambuzi wa Jalada la Riwaya ya Chozi la Heri

Jalada la Riwaya ya Chozi la Heri Join Our Telegram Group Jalada la Riwaya ya Chozi la Heri ni tokeo la usanii wake, Robert Kambo. Rangi ya kijani kibichi Katika upande wa mbele sehemu ya juu, mna rangi ya kijani kibichi iliyokolea. Maana ya rangi hii ni uhai na rutuba. Riwayani yamo maeneo yaliyo na […]

Maswali ya Insha na Dondoo Kutoka Tamthilia ya Kigogo

A) Maswali ya Insha Kutoka Tamthilia ya Kigogo 1) Jadili jinsi maudhui ya uzalendo yamejitokeza katika tamthilia ya Kigogo. (al 20) 2) “Mwandishi wa tamthilia ya kigogo anadhamiria kujenga jamii mpya”Thibitisha ukweli wa kauli hii. (al 20). 3) “Maandamano na migomo ni tatizo sugu katika mataifa yanayoendeleaa.” Kwa kurejelea tamthilia ya kigogo,eleza chanzo na athari […]

MBINU ANAZOTUMIA MAJOKA KUONGOZA SAGAMOYO NA MATAKWA YA WANASAGAMOYO KATIKA TAMTHILIA YA KIGOGO

Katika tamthilia ya Kigogo, Majoka kama kiongozo anatumia mbinu tofauti tofauti kuaongoza wana Sagamoyo. Nao wana Sagamoyo wanayo matakwa wanayotaka kuotoka kwa viongozi wao. Zifuatazo ndizo mbinu azitumiazo Majoka. MBINU ANAZOTUMIA MAJOKA KUONGOZA SAGAMOYO Kufuatia uchambuzi wetu wa tamthilia ya Kigogo, zifuatazo ndizo mbinu anazotumia Majoka ili kuaongoza Wanasagamoyo. Uvumi. Watu wa Majoka wanaeneza uvumi […]

MBINU ZA UANDISHI KATIKA TAMTHILIA YA KIGOGO

Mwandishi Pauline Kea, ametumia mbinu tofauti za uandishi katika tamthilia ya Kigogo. Zifuatazo ndizo mbinu zilizotumika: KINAYA KATIKA TAMTHILIA YA KIGOGO Habari zinazotolewa na mjumbe katika rununu ni za kinaya, kuwa wanasagamoyo wasirudishe maendeleo nyuma bali wafurahie ufanisi ambao umepatikana katika kipindi cha miaka tisini baada ya uhuru. Ujumbe huu ni kinaya kwa vile Sagamoyo […]

UCHAMBUZI WA MAUDHUI KATIKA TAMTHILIA YA KIGOGO

Kuna maudhui kadhaa yanayojitokeza kwenye tamthilia ya Kigogo iliyoandikwa naye Pauline Kea. Haya ndio baadhi ya maudhui hayo: 1) UONGOZI MBAYA Viongozi huangaisha wanyonge, Ashua anasema, “…na kuhangaishwa na wenye nguvu ndio hewa tunayopumua huko.” (uk 2) Wachochole hutumikizwa na viongozi, Kombe, Boza na Sudi wanafanya kazi ya kuchonga vinyago vya mashujaa kwa ajili ya […]

WAHUSIKA KATIKA TAMTHILIA YA KIGOGO

Kunao wahusika kadhaa katika tamthilia ya Kigogo. Hawa ndio wahusika, na sifa kuwahusu. MAJOKA Ni kiongozi wa jimbo la Sagamoyo. Ni katili. Anaamuru Tunu auliwe,anavunjwa mfupa wa muundi. Anamwambia kingi awapige watu risasi katika soko la Chapakazi. Ni mkware. Anapanga njama ya kumpata Ashua, anamtaka kimapenzi licha ya kuwa na mke na mtoto. Ashua anapofika […]

Form 1 Biology: Introduction To Biology

Introduction To Biology Biology derived from Greek words-BIOS meaning LIFE and LOGOS meaning STUDY or KNOWLEDGE. Biology means “life knowledge”. It is the study of living things/organisms. Branches of Biology Botany – the study of plants. Zoology – the study of animals. Microbiology – the study of microscopic organisms. Morphology – the study of external […]

Introduction to Physics – Videos and Notes – Form 1

VIDEO LESSON: Introduction to Physics – What is Physics? Click on play on the video below to watch the lesson. Science in our lives Scientists are people trained in science and who practice the knowledge of science. We require people in industries to work as engineers, technicians, researchers, in hospitals as doctors, nurses, and technologists. […]

Mwongozo Wa Kigogo: MTIRIRIKO KATIKA TAMTHILIA YA KIGOGO

MTIRIRIKO KATIKA ONYESHO LA KWANZA TENDO LA KWANZA Ni katika karakana ya soko la Chapakazi, Sudi, Boza na Kombe wanafanya kazi ya uchongaji.Sudi amefungulia radio huku wakiendelea na kazi yao.Ashua anawaletea chai ya mkandaa na mahamri na kuondoka. Habari inatolewa kwa wananchi wa Sagamoyo kuwa wana kipindi cha mwezi mzima kusheherekea uhuru wao, wawaku buke […]