KNEC Examiners Strike at Machakos Girls High School

Join Our Telegram Group The Kenya Certificate of Secondary Education (KCSE) 2019 Examination results release dates could change after some of Kenya National Examinations Council’s examiners downed their tools today Monday 2nd December 2019 at Machakos Girls high school. The Business Paper 2 national examiners had reported at the Machakos girls high school for the […]

MBINU ANAZOTUMIA MAJOKA KUONGOZA SAGAMOYO NA MATAKWA YA WANASAGAMOYO KATIKA TAMTHILIA YA KIGOGO

Katika tamthilia ya Kigogo, Majoka kama kiongozo anatumia mbinu tofauti tofauti kuaongoza wana Sagamoyo. Nao wana Sagamoyo wanayo matakwa wanayotaka kuotoka kwa viongozi wao. Zifuatazo ndizo mbinu azitumiazo Majoka. MBINU ANAZOTUMIA MAJOKA KUONGOZA SAGAMOYO Kufuatia uchambuzi wetu wa tamthilia ya Kigogo, zifuatazo ndizo mbinu anazotumia Majoka ili kuaongoza Wanasagamoyo. Uvumi. Watu wa Majoka wanaeneza uvumi […]

MBINU ZA UANDISHI KATIKA TAMTHILIA YA KIGOGO

Mwandishi Pauline Kea, ametumia mbinu tofauti za uandishi katika tamthilia ya Kigogo. Zifuatazo ndizo mbinu zilizotumika: KINAYA KATIKA TAMTHILIA YA KIGOGO Habari zinazotolewa na mjumbe katika rununu ni za kinaya, kuwa wanasagamoyo wasirudishe maendeleo nyuma bali wafurahie ufanisi ambao umepatikana katika kipindi cha miaka tisini baada ya uhuru. Ujumbe huu ni kinaya kwa vile Sagamoyo […]

UCHAMBUZI WA MAUDHUI KATIKA TAMTHILIA YA KIGOGO

Kuna maudhui kadhaa yanayojitokeza kwenye tamthilia ya Kigogo iliyoandikwa naye Pauline Kea. Haya ndio baadhi ya maudhui hayo: 1) UONGOZI MBAYA Viongozi huangaisha wanyonge, Ashua anasema, “…na kuhangaishwa na wenye nguvu ndio hewa tunayopumua huko.” (uk 2) Wachochole hutumikizwa na viongozi, Kombe, Boza na Sudi wanafanya kazi ya kuchonga vinyago vya mashujaa kwa ajili ya […]

WAHUSIKA KATIKA TAMTHILIA YA KIGOGO

Kunao wahusika kadhaa katika tamthilia ya Kigogo. Hawa ndio wahusika, na sifa kuwahusu. MAJOKA Ni kiongozi wa jimbo la Sagamoyo. Ni katili. Anaamuru Tunu auliwe,anavunjwa mfupa wa muundi. Anamwambia kingi awapige watu risasi katika soko la Chapakazi. Ni mkware. Anapanga njama ya kumpata Ashua, anamtaka kimapenzi licha ya kuwa na mke na mtoto. Ashua anapofika […]

Form 1 Biology: Introduction To Biology

Introduction To Biology Biology derived from Greek words-BIOS meaning LIFE and LOGOS meaning STUDY or KNOWLEDGE. Biology means “life knowledge”. It is the study of living things/organisms. Branches of Biology Botany – the study of plants. Zoology – the study of animals. Microbiology – the study of microscopic organisms. Morphology – the study of external […]

Introduction to Physics – Videos and Notes – Form 1

VIDEO LESSON: Introduction to Physics – What is Physics? Click on play on the video below to watch the lesson. Science in our lives Scientists are people trained in science and who practice the knowledge of science. We require people in industries to work as engineers, technicians, researchers, in hospitals as doctors, nurses, and technologists. […]

Mwongozo Wa Kigogo: MTIRIRIKO KATIKA TAMTHILIA YA KIGOGO

MTIRIRIKO KATIKA ONYESHO LA KWANZA TENDO LA KWANZA Ni katika karakana ya soko la Chapakazi, Sudi, Boza na Kombe wanafanya kazi ya uchongaji.Sudi amefungulia radio huku wakiendelea na kazi yao.Ashua anawaletea chai ya mkandaa na mahamri na kuondoka. Habari inatolewa kwa wananchi wa Sagamoyo kuwa wana kipindi cha mwezi mzima kusheherekea uhuru wao, wawaku buke […]

TSC Intern Applicants Skip Interviews as Several Schools Miss Teachers

The Teachers Service Commission TSC internship interviews are ongoing throughout the country and is experiencing low applicants turnout. Most intern applicants decided to skip the interviews for fear of missing out on the future TSC teacher recruitments. TSC had advertised over 10,000 teaching internship vacancies in early October to help address the national teacher shortage. […]

KUCCPS Opens Online Portal for 2020 TVET Application for Form Four Graduates

The Kenya Universities and Colleges Central Placement Service (KUCCPS) has once again opened the Online application portal for KCSE graduands. KUCCPS, in its notice, said the application is open for form 4 high school leavers intending to join technical and vocational education and training (TVET) institutions. This is an open opportunity to form fours who […]