TSC Pulls Out Support, Personale and Sponsorship for KEPSHA after Sossion’s Speech

Join Our Facebook Page Following the Speech delivered by embattled KNUT Secretary General Wilson Sossion, Teachers Service Commission (TSC) has pulled out of the KEPSHA delegates 2019 Conference. The Kenya Primary Schools Heads Association (KEPSHA) delegates conference is currently ongoing in Mombasa. Yesterday, Tuesday 2nd December 2019, the Kenya National Union of Teachers (KNUT) Secretary-General […]

Maswali ya Insha na Dondoo Kutoka Tamthilia ya Kigogo

A) Maswali ya Insha Kutoka Tamthilia ya Kigogo Join Our Facebook Page 1) Jadili jinsi maudhui ya uzalendo yamejitokeza katika tamthilia ya Kigogo. (al 20) 2) “Mwandishi wa tamthilia ya kigogo anadhamiria kujenga jamii mpya”Thibitisha ukweli wa kauli hii. (al 20). 3) “Maandamano na migomo ni tatizo sugu katika mataifa yanayoendeleaa.” Kwa kurejelea tamthilia ya […]

KNEC Examiners Strike at Machakos Girls High School

The Kenya Certificate of Secondary Education (KCSE) 2019 Examination results release dates could change after some of Kenya National Examinations Council’s examiners downed their tools today Monday 2nd December 2019 at Machakos Girls high school. The Business Paper 2 national examiners had reported at the Machakos girls high school for the marking exercise over the […]

MBINU ANAZOTUMIA MAJOKA KUONGOZA SAGAMOYO NA MATAKWA YA WANASAGAMOYO KATIKA TAMTHILIA YA KIGOGO

Katika tamthilia ya Kigogo, Majoka kama kiongozo anatumia mbinu tofauti tofauti kuaongoza wana Sagamoyo. Nao wana Sagamoyo wanayo matakwa wanayotaka kuotoka kwa viongozi wao. Zifuatazo ndizo mbinu azitumiazo Majoka. MBINU ANAZOTUMIA MAJOKA KUONGOZA SAGAMOYO Kufuatia uchambuzi wetu wa tamthilia ya Kigogo, zifuatazo ndizo mbinu anazotumia Majoka ili kuaongoza Wanasagamoyo. Uvumi. Watu wa Majoka wanaeneza uvumi […]

MBINU ZA UANDISHI KATIKA TAMTHILIA YA KIGOGO

Mwandishi Pauline Kea, ametumia mbinu tofauti za uandishi katika tamthilia ya Kigogo. Zifuatazo ndizo mbinu zilizotumika: KINAYA KATIKA TAMTHILIA YA KIGOGO Habari zinazotolewa na mjumbe katika rununu ni za kinaya, kuwa wanasagamoyo wasirudishe maendeleo nyuma bali wafurahie ufanisi ambao umepatikana katika kipindi cha miaka tisini baada ya uhuru. Ujumbe huu ni kinaya kwa vile Sagamoyo […]

UCHAMBUZI WA MAUDHUI KATIKA TAMTHILIA YA KIGOGO

Kuna maudhui kadhaa yanayojitokeza kwenye tamthilia ya Kigogo iliyoandikwa naye Pauline Kea. Haya ndio baadhi ya maudhui hayo: 1) UONGOZI MBAYA Viongozi huangaisha wanyonge, Ashua anasema, “…na kuhangaishwa na wenye nguvu ndio hewa tunayopumua huko.” (uk 2) Wachochole hutumikizwa na viongozi, Kombe, Boza na Sudi wanafanya kazi ya kuchonga vinyago vya mashujaa kwa ajili ya […]

WAHUSIKA KATIKA TAMTHILIA YA KIGOGO

Kunao wahusika kadhaa katika tamthilia ya Kigogo. Hawa ndio wahusika, na sifa kuwahusu. MAJOKA Ni kiongozi wa jimbo la Sagamoyo. Ni katili. Anaamuru Tunu auliwe,anavunjwa mfupa wa muundi. Anamwambia kingi awapige watu risasi katika soko la Chapakazi. Ni mkware. Anapanga njama ya kumpata Ashua, anamtaka kimapenzi licha ya kuwa na mke na mtoto. Ashua anapofika […]

Form 1 Biology: Introduction To Biology

Introduction To Biology Biology derived from Greek words-BIOS meaning LIFE and LOGOS meaning STUDY or KNOWLEDGE. Biology means “life knowledge”. It is the study of living things/organisms. Branches of Biology Botany – the study of plants. Zoology – the study of animals. Microbiology – the study of microscopic organisms. Morphology – the study of external […]

Introduction to Physics – Videos and Notes – Form 1

VIDEO LESSON: Introduction to Physics – What is Physics? Click on play on the video below to watch the lesson. Science in our lives Scientists are people trained in science and who practice the knowledge of science. We require people in industries to work as engineers, technicians, researchers, in hospitals as doctors, nurses, and technologists. […]

Mwongozo Wa Kigogo: MTIRIRIKO KATIKA TAMTHILIA YA KIGOGO

MTIRIRIKO KATIKA ONYESHO LA KWANZA TENDO LA KWANZA Ni katika karakana ya soko la Chapakazi, Sudi, Boza na Kombe wanafanya kazi ya uchongaji.Sudi amefungulia radio huku wakiendelea na kazi yao.Ashua anawaletea chai ya mkandaa na mahamri na kuondoka. Habari inatolewa kwa wananchi wa Sagamoyo kuwa wana kipindi cha mwezi mzima kusheherekea uhuru wao, wawaku buke […]